Jumatano, 8 Desemba 2021

YERUSALEMU MAKAO YANGU

(1)Yerusalemu makao yangu, yenye furaha na amani tele, O, jinsi ninavyokutamani, kupa ingia pale. huzuni zangu zitaisha lini, furaha nitaziona lini? Nikifika nyumbani Kwa Baba hapo nitapata pumziko.

Yesu tusaidie Kwa Neema yako kuu, ili tuendelee kukungojea, mpaka utakaporudi kutuchukua kwenye makao yaliyo barikiwa.

(2)Yerusalemu ni nchi tamu, yenye baraka na Amani tele. Nchi ya wateule wa Mungu, walio shinda dhambi Mioyo yenye shauku kubwa, inatarajia kuja kwako Bwana, Yesu twakuomba tupeleke Nchi pendwa ya mapumnziko.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni