Alhamisi, 2 Desemba 2021

NIMEAMUA KUISHI NDANI YA YESU ( wimbo)

(1)Nimeamua kuishi ndani ya Yesu, naku achana na mambo ya dunia hii, sijaona faida ya kuipenda dunia niheri, niheri kuishi na Mwokozi.

Tangu sasa mtu asinitaabishe, mwilini mwangu naibeba chapa ya Yesu, yeye ndani yangu, Mimi ndani yake nitamwandama daima,

(2) Ee ndugu yangu utulie Kwa Yesu hapo ndipo lilipo tumaini lako, huna sababu yaku hangaika naya dunia, tulia, tulia, tulia kwa Mwokozi.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni