Alhamisi, 2 Desemba 2021

BWANA KIMBILIO LANGU (wimbo)

(1) Bwana kimbilio langu tena ndiye msaada wangu, ni ngome yangu ndiye wokovu wangu msaada ulio karibu

Sasa najua ya kwamba sioni cha kunitenga naye, iwe ni shida, iwe ni njaa, siwezi tengwa naye

(2) Bwana mchungaji wangu tena ndiye kiongozi wangu, yeye ni mwamba wa wokovu wangu, sina hofu na kitu chochote

(3) Bwana mkombozi wangu tena ndiye mlinzii wangu, ni mwogope nani, sina chakuogopa kwani Yesu rafiki wa kweli.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni