Ijumaa, 10 Juni 2016

MAKUNDI NI MAWILI TU ( watiifu na waasi).

Patakuwa na makundi mawili tu duniani, watoto watiifu wa Mungu na wale wasiotii. Siku moja Kristo aliweka mbele ya wasikilizaji wake kazi ile ya hukumu kwa maneno haya: "Hapo atakapokuja Mwana wa Adamu katika utukufu wake, na malaika watakatifu wote pamoja naye, ndipo atakapoketi katika kiti cha utukufu wake, na mataifa yote watakusanyika mbele zake, naye atawabagua kama vile mchungaji abaguavyo kondoo na mbuzi; atawaweka kondoo mkono wake wa kuume na mbuzi mkono wake wa kushoto.   Kisha mfalme atawaambia wale walioko mkono wake wa kuume. Njoni, mliobarikiwa na Baba yangu, urithini ufalme mliowekewa tayari  tangu kuumbwa ulimwengu;  kwa maana nilikuwa na njaa mkanipa chakula, .................Mathayo 25:31-40. Kwa njia  hiyo Kristo anayafungamanisha mambo yale  yale ayapendayo pamoja na yale ya wanadamu wanaoteseka. Kila jambo wanalotendewa watoto wake analiangalia kama ametendewa yeye mwenyewe. Wale wanaodai kwamba wanao utakaso wa kisasa wangeweza kuja mbele yake wakijisifu na kusema, "Bwana, Bwana, hivi wewe hutujui sisi? Hatujafanya unabii kwa jina lako? na katika jina lako kutoa pepo?  na katika jina lako kufanya miujiza mingi? Watu hao wanaoelezwa hapo , wanaotoa madai ya kinafiki, wakionekana kumweka Yesu katika mambo yao yote waliyofanya, nimfano halisi wa wale wanaodai kwamba wanao utakaso wa kisasa. Lakini wanaendelea kupiga vita  sheria ya Mungu ( Amri Kumi). Kristo anawaita hao kuwa ni watenda maovu kwasababu hao ni wadanganyifu, wakiwawamejivika mavazi ya haki kuficha tabia zao zenye kasoro, yaani uovu ule walio nao ndani ya mioyo yao michafu.     Shetani ameshuka chini katika siku hizi za mwisho akiwa na madanganyo yote ya udhalimu kwa hao wanaopotea. Kwa uweza wa fahari yake ya kishetani anafanya miujiza mbele ya macho ya manabii hao wa uongo, na mbele ya wanadamu, akidai kwamba yeye ni Kristo mwenyewe hasa. Shetani anawapa uwezo wake wale wanaomsaidia katika kuendeleza madanganyo yake; kwahiyo, wale wanaodai kuwa wanao uwezo mkubwa wa Mungu, wanaweza kutambuliwa tu kwa njia ya yule Mgunduzi Mkuu ( Msema Kweli), yaani,Sheria yake Yehova ( Amri Kumi)-Kutoka 20:3-17:    Isaya 8:20. Bwana anatuambia sisi kwamba kama pangekuwa na uwezekano ( hao manabii wa uongo) wangeweza kuwadanganya yamkini hata walio wateule. Mavazi ya kondoo waliyojivika yanaonekana kuwa ni mavazi yao halisi, yaani, halisi kabisa kiasi kwamba mbwa mwitu huyo anaweza kutambuliwa tu kama sisi tutakwenda kuiangalia  kanuni ile kuu ya Maadili ( Amri Kumi) na kuwagundua kuwa hao ni wavunjaji wa sheria ya Yehova ( Amri Kumi).

Jumapili, 5 Juni 2016

LORD'S SUPPER.

16 Lord's Supper The Lord’s Supper is a participation in the emblems of the body and blood of Jesus as an expression of faith in Him, our Lord and Saviour. In this experience of communion Christ is present to meet and strengthen His people. As we partake, we joyfully proclaim the Lord’s death until He comes again. Preparation for the Supper includes self-examination, repentance, and confession. The Master ordained the service of foot washing to signify renewed cleansing, to express a willingness to serve one another in Christlike humility, and to unite our hearts in love. The communion service is open to all believing Christians. (1 Cor. 10:16, 17; 1 Cor. 11:23-30; Matt. 26:17-30; Rev. 3:20; John 6:48-63; John 13:1-17.)

Alhamisi, 2 Juni 2016

BAPTISM

15 Baptism By baptism we confess our faith in the death and resurrection of Jesus Christ, and testify of our death to sin and of our purpose to walk in newness of life. Thus we acknowledge Christ as Lord and Saviour, become His people, and are received as members by His church. Baptism is a symbol of our union with Christ, the forgiveness of our sins, and our reception of the Holy Spirit. It is by immersion in water and is contingent on an affirmation of faith in Jesus and evidence of repentance of sin. It follows instruction in the Holy Scriptures and acceptance of their teachings. (Rom. 6:1-6; Col. 2:12, 13; Acts 16:30-33; Acts 22:16; Acts 2:38; Matt. 28:19, 20.)