Alhamisi, 3 Oktoba 2013

Msimamo wa watu wa Mungu.

Katika matatizo yo yote, watu wa Mungu watasimama imara na kusema: Mungu akiwa upande wetu,nani atakuwa juu yetu?Wakakini hata kama hila za shetani ziwepo,Mungu atazibatilisha.Yeye anafanya kazi,na hakuna mtu atakayempinga.Kazi yake itafaulu.

Maoni 1 :